Harmonize – Deka Lyrics

Harmonize Deka Lyrics (feat. Mabantu)

Brother acha ujinga
Motto wa kike sifa yake kuringa
Ubahiri mwisho iringa uoni kina konde boy
Wanavyo mwaga mandinga mmmh
Kajala one and two ten azote ni range
Mwenzetu umetuma ka laki tu na bado
Unauliza chenji
Eti kisa cha kumyimbia ni vipombe chips na vikuku
Brother ukijiona bondia kazichape na mwakinyo
Ama kiduku
Ndio maana akipendacho binti
Wahuni tunanunua ili ikifika mida ya miti
Asije akasumbuwa

Deka deka deka
Nikudekeze
Baby deka, hmmm hmmm deka
Aaaah deka nikudekeze
Baby girls deka deka deka
Deka nikudekeze, baby deka
Deka deka deka nikudekeze

Uhn uhn uhn uhn uhn
Si wanapenda kubang
Uhn uhn uhn uhn uhn
Kumanisha nini
Unaniletea u star
Me mwenyewe star
Heee, unaniletea u star
Me mwenyewe star

Yooo
Kwanza mama yangu star (star)
Baba yangu star (star)
Wanangu ma star
Weeeh, iyo bebe yangu star
Ex wangu star
Mahepuko wangu star
Inh sasa usinituletee u star

Wenzako tunajinyima kula mwili ukonde
Tupate na yi six pack
Licha ya kunung’unula miuno ya kimakonde
Ila bado mademu wanatu pack
We unamtumia pengine hapati ati hata mia
Kipindi unakazana kumkaribia
Wenzako wanashindana kumgharamia
Aki aki akipendacho binti
Wakuni tunanunua ili ikifika mida ya miti
Asije akasumbuwaa

Deka deka deka
Nikudekeze
Baby deka, hmmm hmmm deka
Aaaah deka nikudekeze
Baby girls deka deka deka
Deka nikudekeze, baby deka
Deka deka deka nikudekeze

Konde boy call me number one