Kala Jeremiah Wewe Lyrics
Kala Jeremiah – Wewe Lyrics ft. Sholo Mwamba

Wewe Lyrics by Kala Jeremiah ft Sholo Mwamba

Nisikilize mimi kama unataka uolewe
Kabla ya kupenda hakikisha unajipenda mwenyewe
Naongea na wewe
Puuza haya maandiko kama mpira uchezewe

We kifaranga cheki juu kuna wingu la mwewe
Wanasubiri ujichanganye
Ubuge upitiwe
Usifiwe sifiwe udanganywe uchachuliwe
Kama makini kie .. zubaa uchenduliwe

Keusi kekundu funika tissue ufunuliwe
Weka tamaa mbele ka kuku ununuliwe
Udanganyike kwa mtama uvhijwe uuliwe
Kuwa makini kutofautisha mwamba na jiwe

Nisikilize mimi kama unataka uolewe
Kabla ya kupenda hakikisha unajipenda mwenyewe
Naongea na wewe
Puuza haya maandiko kama mpira uchezewe

We kifaranga cheki juu kuna wingu la mwewe
Wanasubiri ujichanganye
Ubuge upitiwe
Usifiwe sifiwe udanganywe uchachuliwe
Kama makini kie .. zubaa uchenduliwe

Keusi kekundu funika tissue ufunuliwe
Weka tamaa mbele ka kuku ununuliwe
Udanganyike kwa mtama uvhijwe uuliwe
Kuwa makini kutofautisha mwamba na jiwe

Written by; Kala Jeremiah
Released date; 12 February, 2021

Kala Jeremiah Wewe Lyrics ft Sholo Mwamba