
Nyashinski Top Form Lyrics
Mwaka mzima hakuna show
Sa unatakaje? (Sa unatakaje)
Ka ki cookie rent haishuki
Na mi ni mzazi vitu sihitaji
Vitu sihitaji zinafeel stupid
So sikupi mziki huhitaji
Kwa ufupi chini sistuki
Mimi niko juu vile huwezi imagine
Watu wanataka hope niitoe wapi?
Mi mwenyewe nashangaa hii row
Najua kutaendaje?
Vitu ka mng’aro kwanza nishatoa kwa budget
Sijali kwa gram hizo mapicha zitatokaje
Madeni za masupplier
Grown men sa wanagwaya
Pia mi naomba nipeeni chance ka Kemsa wanahire
Ulimjudge sa unamwita mentor ju kuna pesa kwa umalaya
Shingo inameremeta nakaa influencer wa mawaya
Mi huwa na simu ukiniita bash nakuja na till
Na look inaclash na sura ya ndimu
Na watu mnatrust ni watu naheshimu
Ka kuna cash ndo nashika simu
Ka niko works nakuwanga mashini
Written by; Nyashinski
Top Form Lyrics by Nyashinski
Nyashinski Top Form Lyrics In English Translation
Throughout the year there is no show
What do you want? (What do you want)
How to cookie rent does not matter
And I’m a parent of things I don’t need
Things I don’t need feel stupid
So I don’t know what music you need
Briefly down the system
I’m so high you can’t imagine
Where do people want me to give up?
I myself wonder this row
I know how it will go?
The first thing I did was to budget for the budget
I don’t care how many grams of those pictures will come out
Debt of suppliers
Grown men sa wanagwaya
I also ask you to give me a chance to Kemsa hire them
Ulimjudge sa you call him mentor ju there is money for prostitution
The neck radiates and becomes a wire influencer
I have a phone call and you call me bash and I come and till
And an inaclash look with a lemon shape
And the people you trust are the people I respect
If there is cash I will hold the phone
Ka niko works nawanga machine
Leave a Reply