
Muujiza Lyrics by Christina Shusho
Si kwa bahati mbaya uko hai leo
Na si kwamba wewe ni mjanja kuliko wale waliolala
Ila yote ni muujiza wa Mungu tu
Ni muujiza tu
Nikilala niamke, nikiona natembea
Mwenzenu, kwangu ni muujiza
Asubuhi kunakucha, Jioni iikingia
Maisha yangu, mimi ni muujiza tu
Siku ikipita, mwezi na mwaka unakwisha
Mimi, hii kwangu ni muujiza tu
Ewe Yesu, Ee Yesu, Bwana wangu we
Oh kwangu ni muujiza
Mimi ni muujiza, maisha yangu ni muujiza
Ee Bwana, we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Ee Bwana, we kwangu ni muujiza
Kuna waliolala, hawakuamka
Ee Bwana naona ni muujiza
Walioanza safari, hawakufika
Mimi leo, najiona mi muujiza
Kuwa hai, kutangaza neno lako
Bwana kwangu, mimi ni muujiza
Sina sababu, ya kunyamaza
Maana kwangu, wewe Bwana ni muujiza
Oh yeah, Oh Yesu we… (Oh Jesus)
Written by; Christina Shusho
Christina Shusho Muujiza Lyrics
Christina Shusho Muujiza Lyrics In English Translation
It is no coincidence that you are alive today
And not that you are smarter than those who sleep
But it is all a miracle of God
It’s just a miracle
When I sleep I wake up, I see I walk
Fellow, to me it is a miracle
The morning dawns, the evening sets
My life, I am just a miracle
As the days pass, the moon and the year end
Me, this to me is just a miracle
O Jesus, O Jesus, my Lord
Oh to me it’s a miracle
I am a miracle, my life is a miracle
O Lord, to me it is a miracle
When I sleep it is a miracle, when I wake up it is a miracle
O Lord, to me it is a miracle
There are those who sleep, they do not wake up
O Lord I see it as a miracle
Those who started the journey did not arrive
Today, I see myself as a miracle
Be alive, proclaim your word
Lord to me, I am a miracle
I have no reason, to be silent
For to me, O Lord, you are a miracle
Oh yeah, Oh Jesus we… (Oh Jesus)