Ibraah – Hayakuhusu Lyrics

Ibraah Hayakuhusu Lyrics
Ibraah – Hayakuhusu Lyrics

Hayakuhusu Lyrics Ibraah

Wewe, aah aah ah
Haukutaka kulea, wakati unalelewa
Lazima uvunjie watu wazima heshima
Punguza mazea unajifanya una-care
Wakati umemtelekeza Fahima

Achana na walokutangulia
Wakati kesho yako hujui itakwangukia
Unaweza Wasafi ukatimuliwa
Na Konde Gang ukaja kusign-iwa

Unashindana na mwanajeshi
Ambaye vita aliianza baba yako (Na hawezi)
Msalimie kipa la ndezi
Mwambie hata akikesha kwa sango (Hatuhami Mbezi)

Nyimbo kaimbiwa Kajala
Karauka na kupwita pwita
Acha papara aah wee
Naskia unachimba mikwara
Hauna chochote wewe buma chakula ah wewe

Mapenzi ya Konde na Kajala
Yanakuhusu nini kaka wee (Hayakuhusu)
Hata wakiongea video call
Na Paula lakini si mwanae (Hayakuhusu)

We njoo ukomae na muziki (Hayakuhusu)
Ona kina Chinga tunahit (Hayakuhusu)
Ah tumeanza jana hatushikiki (Hayakuhusu)
Umeona Sound from Africa haisikiki, imebuma wee…

Mambo ya kuhonga waandishi wa habari
Nyi mmezoea tunawajua
Hata Youtube zetu mnapochokonoa
Si tunawajua, tunawajua

Kama vipaji mnavyo, sa wivu wa nini?
Tufanye kazi na tusonge mbele
Kama vipaji mnavyo, na mnajiamini
Ya nini sasa kupiga kelele

Eeh akina Lokole, si wanawapost
Sababu ndio machawa wao, ndio machawa wao
Kila siku anawapromote
Leo asikose ladha, ooh ladha ooh

Ah chondelei mrudie Fahima ukamtunze mwanao
Yasiwe ya Mzee Abdul na Nasibu
Kumbuka kujinyima usimsahau mwanao
Baadae akutunze usije pata aibu

Mapenzi ya Konde na Kajala
Yanakuhusu nini kaka wee (Hayakuhusu)
Hata wakiongea video call
Na Paula lakini si mwanae (Hayakuhusu)

We njoo ukomae na muziki (Hayakuhusu)
Ona kina Chinga tunahit (Hayakuhusu)
Ah tumeanza jana hatushikiki (Hayakuhusu)
Umeona Sound from Africa haisikiki, imebuma wee…

Written by; Ibraah

Ibraah Hayakuhusu Lyrics

Ibraah Hayakuhusu Lyrics In English Translation

You, aah aah ah
You did not want to be raised, while you were being raised
You must disrespect adults
Cut down on old age by pretending to care
When you have abandoned Fahima

Let go of your predecessors
When your tomorrow you do not know it will fall on you
You can clean up after yourself
And the Konde Gang came to sign

You are wrestling with a soldier
Who started the war your father (And can’t)
Greet the goalkeeper
Tell him even if he is waiting for the sango (We do not move Mbezi)

A song sung by Kajala
Dry and whisk
Acha papara aah wee
Naskia digs holes
You have nothing you buma food ah you

Love of Konde and Kajala
What about you bro wee (Not about you)
Even talking video call
With Paula but not her son (Not applicable)

Come on in, take a look and enjoy yourself!
See detailed Chinga tunahit (Not applicable)
Ah we started yesterday unstoppable (Not applicable)
You have seen the Sound from Africa is inaudible, it has sounded …

Things to bribe journalists
You are accustomed to knowing them
Even our Youtube when you click
We don’t know them, we know them

If you have talents, why are you jealous?
Let’s work and move forward
Like the talents you have, and you are confident
Of what now screaming

Yeah Al that sounds pretty crap to me, Looks like BT aint for me either
The reason is their magic, it’s their magic
Every day he promotes them
Today don’t miss the taste, ooh delicious ooh

Ah please go back to Fahima and take care of your son
Not for Mzee Abdul and Nasibu
Remember to abstain and do not forget your son
Later, take care of yourself so that you don’t feel embarrassed

Love of Konde and Kajala
What about you bro wee (Not about you)
Even talking video call
With Paula but not her son (Not applicable)

Come on in, take a look and enjoy yourself!
See detailed Chinga tunahit (Not applicable)
Ah we started yesterday unstoppable (Not applicable)
You have seen the Sound from Africa is inaudible, it has sounded …