Wenge Lyrics by Mimi Mars
(It’s S2kizzy beiby)
Ua la moyo limeshachelewa
Furaha yangu wewe na unajua
Ninapokupenda wee
Kama roho yangu
Popote nitapokwenda
Uwe pembeni yangu
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge!
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge, nitapunguza
Najua we hupendi wakituona
Twapatapo raha
Nasi twaendana na wanaona
Tunapendana sana
Ninapokupenda wee
Kama roho yangu
Popote nitapokwenda
Uwe pembeni yangu
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge!
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge! Nitapunguza
Kama nyota na mwezi
Tunaridhi penzi letu
(Kwa Mix Lizer)
Written by; Mimi Mars
Released date; 17 February, 2021