Zuchu Mwizi Lyrics

Do you know me
The way you call me your queen
Mwenzako I feel so happy
Happy

Do you know
That you’re my favourite you’re my bee
Unakuanga so lovely
Lovely mmh

Ah, jamani mwenzenu moyo kaniibia
Nahisi kihirizi ah, kanichimbia mama
Nauchizi Sio ucheshi nachanganyikiwa
Mapenzi kikohozi, kwake nimepaliwa

Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God kwako hoi nyang’anyang’a (Nyang’anyang’a)
Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God kwako hoi nyang’anyang’a (Nyang’anyang’a)

Ooh, tazama ndege angani wanaimba na kucheza
Zuzuzu wewe waniukiliaz we
Niliomba dua nami nipate wakunipendeza
Mungu tu aliye mwema amenipa eh
Na mimi Mungu wetu mwema ndo amenupa weh

Oh malijani, huoni ka tunanyimana
Wenyewe tumetulizana, tibia vimo twafanana
Saana mapenzi bwana hata tugombane mchana
Usiku tumeshapatana twacheka na kutekenyana
Sanaa

Jamani mwizi moyo kaniibia
Nahisi kihirizi ah, kanichimbia mama
Ndo maana uchizi sio ucheshi nachanganyikiwa
Mapenzi kikohozi, ah nimepaliwa

Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God kwako hoi nyang’anyang’a (Nyang’anyang’a)
Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God kwako hoi nyang’anyang’a (Nyang’anyang’a)