Zuchu Yalaaaa Lyrics, Yalaaaa Lyrics by Zuchu
Mmmmh kaniumbua umbua,
Anavyonidadavua
Vitu flani vya kusisimua,
Chachambu anavyo ichambua
Hunipa ning’ate ng’ate
Mikato nikate kate
Igande inate nate
Itelezeshwe kwa matee
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
Kanipania pania
Na hajataka kuniachia
Kanipania pania
Na hajataka kuniachia
Kama samaki hulumangia
Huanza kichwa mpaka na mkia
Naiomba serikali
Kijana apelekwe mbali
Ananifanya silali, siwazi, sitafakari
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
Yalaaaa, Yalaaaa
